Inama Lyrics by Zuchu & Diamond Platnumz

Zuchu & Diamond Platnumz – Inama Lyrics

Read Inama Lyrics by Zuchu featuring Diamond Platnumz below

Inama Artwork

[Intro: Zuchu]

Gogu!
Maga
Ni Zuchu Chu chu chu
Lizer classic

[Zuchu’s Verse]

Waiteni wambea
Wa kusini na mashariki
Waje kuona
Bado niko nawee!
Waliongea, eti mbali si hatufiki
Ikiwachoma, wakameze mawe
Kwako chonjo (chonjo)
Mi naona kengeza
Yaani uhondo, unavyonikoleza
Wanatapika nyongo
Penzi Hawajaliweza
Nakusifu kibongo
Nakusifu kingereza

Trending Now: Sacrifice by Amerado

[Pre-Chorus: Zuchu]

Muchuchu muchuchu
Shweet shweet banana
Punga mkono juu
Nakuomba babay simama
Leo yako sikukuu
Nikupakulie minyama
Upite na huku
Wasokupenda uwakere sana
Uniijie kwa mbwembwe

[Chorus: Zuchu]

Unainama, waonyeshe
Unainuka (mama), unaigusa
Afu kama unashuka
Iongezee na njonjo
Unainama, ah! Madegezyee!
Unainuka (ai we! we! we!)
Unaigusa (agha!)
Afu kama unashuka

[Diamond Platnumz’s Verse]

Hot: Angel Dust by Tiwa Savage

Oh! baby A, E, I
Malizia O, U
Eh! Mwenzio pwa, pwe mi, boya tuuu
I know you love me, I love you, too
Nisipokuona ta, te, ti, presha juu..
Nimegundua, kwanini wananuna
Ma-ex zako, nakunichukia
Maana unajua, aapi pa kukuna
Kwa kazi yako, unanipatia

[Pre-Chorus: Diamond Platnumz]

Muchuchu muchuchu
Shweet shweet banana
Punga mkono juu
Nakuomba babay simama
Leo yako sikukuu
Nakupakulia minyama
Ebu njoo Kwa huku
Ringa jishaue bana
Tena ntilie mimbwembwe

[Chorus: Diamond Platnumz & Zuchu]

Read Also: Intro by Gyakie

Unainama, eh! Nikomeshe
Unainuka (mama), unaigusa
Afu kama unashuka
Iongezee na njonjo
Unainama, ah! Madegezyee!
Unainuka (ai we! we! we!)
Unaigusa (agha!)
Afu kama unashuka

Join us on facebookX and Youtube for more exciting contents.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *